Irmina wa Trier
Mandhari

Irmina wa Trier (Trier, leo nchini Ujerumani, karne ya 7 - Wissembourg, leo nchini Ufaransa, 716) alikuwa mwanamke wa ukoo wa kifalme ambaye, labda baada ya kuolewa na kuzaa watoto watano[1], alianzisha monasteri huko Oehren akaiendesha kama abesi hadi kifo chake[2].
Alimfadhili sana Wilibrodi katika umisionari wake na kutoa kwa ukarimu mali yake hata kwa wengine.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Desemba[3]..
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Christian Settipani, Les Ancêtres de Charlemagne, Paris, Société atlantique d'impression, 1989, 170 p. ISBN 2-906483-28-1.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/82950
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Irmina of Trier, abbess and saint (German) Ilihifadhiwa 28 Septemba 2017 kwenye Wayback Machine. Accessed 17 December 2011
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |