Ignatius Jerome Strecker
Mandhari
Ignatius Jerome Strecker (23 Novemba 1917 – 16 Oktoba 2003) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Marekani.
Alihudumu kama Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Kansas City, Kansas, kuanzia 1969 hadi 1993. Kabla ya hapo, alihudumu kama Askofu wa Jimbo la Springfield-Cape Girardeau, Missouri, kutoka 1962 hadi 1969.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Ignatius J. Strecker's Obituary (2003) Kansas City Star". Legacy.com. Iliwekwa mnamo 2022-11-08.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |