Nenda kwa yaliyomo

ISO 3166-2:TZ

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

ISO 3166-2:TZ ni ingizo la Tanzania katika ISO 3166-2, sehemu ya mfumo sanifu wa ISO 3166 uliochapishwa na Shirika la Kimataifa la Usanifishaji, ambalo linafafanua misimbo ya majina ya mikoa na majimbo ya nchi zote zilizotambulishwa katika ISO 3166-1.

Kwa sasa, misimbo ya ISO 3166-2 imefafanuliwa kwa mikoa 31 ya Tanzania.

Kila msimbo una sehemu mbili zilizogawanywa na kistariungio. Sehemu ya kwanza ni TZ, msimbo wa ISO 3166-1 wa Tanzania. Sehemu ya pili ni tarakimu mbili:

  • 01-25: mikoa kuanzia mwanzo wa miaka ya 2000
  • 26: mkoa ulioundwa mwaka 2002
  • 27-30: mikoa iliyoundwa mwaka 2012
  • 31: mkoa ulioundwa mwaka 2016

Misimbo ya sasa

[hariri | hariri chanzo]
Msimbo Jina la mkoa
TZ-01 Arusha
TZ-02 Dar es Salaam
TZ-03 Dodoma
TZ-27 Geita
TZ-04 Iringa
TZ-05 Kagera
TZ-06 Pemba Kaskazini
TZ-07 Unguja Kaskazini
TZ-28 Katavi
TZ-08 Kigoma
TZ-09 Kilimanjaro
TZ-10 Pemba Kusini
TZ-11 Unguja Kusini
TZ-12 Lindi
TZ-26 Manyara
TZ-13 Mara
TZ-14 Mbeya
TZ-15 Mjini Magharibi
TZ-16 Morogoro
TZ-17 Mtwara
TZ-18 Mwanza
TZ-29 Njombe
TZ-19 Pwani
TZ-20 Rukwa
TZ-21 Ruvuma
TZ-22 Shinyanga
TZ-30 Simiyu
TZ-23 Singida
TZ-31 Songwe
TZ-24 Tabora
TZ-25 Tanga

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]