Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Kati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa cha Kati kutoka juu.
Kisiwa kwa jirani zaidi.
Ziwa Flamingo ndani ya Kisiwa cha Kati cha Ziwa Turkana.

Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Kati ni kati ya hifadhi za taifa nchini Kenya. Inapatikana katika Kisiwa cha Kati cha ziwa Turkana na inatambulikana na UNESCO kama mahali pa Urithi wa Dunia

Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: