Hifadhi ya Taifa ya Bwindi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sokwe wa mlima katika Msitu wa Hifadhi ya Bwindi
Sokwe wa mlima katika Msitu wa Hifadhi ya Bwindi

Hifadhi ya Taifa ya Bwindi (BINP) iko kusini magharibi mwa Uganda . Mbuga hii ni sehemu ya Msitu wa Bwindi na iko kando ya mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) karibu na Hifadhi ya taifa ya Virunga na ukingo wa Ufa wa Albertine.

Inajumuisha eneo la ukubwa wa kilomita za mraba 321 za misitu ya milima na nyanda za chini, inaruhusiwa kupita kwa miguu tu. BNP ni moja ya hifadhi ya Urithi wa Dunia wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni . [1] [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Bwindi Impenetrable National Park profile on UNESCO's World Heritage website
  2. Bwindi Impenetrable National Park, UNESCO World Heritage Site listing