Nenda kwa yaliyomo

Herode Filipo II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Herode Filipo II (26 KK - 34 BK) alikuwa mtawala wa Iturea, Trakoniti na maeneo ya jirani[1][2] kuanzia mwaka 4 KK hadi kifo chake. Alizaliwa na mfalme Herode Mkuu na Kleopatra wa Yerusalemu.

Anatajwa katika Injili ya Luka 3:1.

  1. "Flavius Josephus, Antiquities XVII., 8 : 1".
  2. "Flavius Josephus, Antiquities XVII., 11 : 4".

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Herode Filipo II kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.