Herbert James Mntangi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Herbert James Mtangi)

Herbert James Mntangi (amezaliwa 16 Oktoba, 1950) ni mbunge wa jimbo la Muheza katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Herbert James Mntangi". 25 Aprili 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-17. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.