Henry Mdimu
Mandhari

Henry Mdimu (amezaliwa 4 Agosti 1976) ni mwanzilishi wa shirika la Imetosha Foundation, shirika linaloelimisha na kuwasaidia maalbino nchini Tanzania juu ya namna ya kujitambua pamoja na masuala ya kiafya yanayowakumba. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |