Nenda kwa yaliyomo

Henri wa Kongo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Henri wa Kongo (pia: Henrique Kinu a Mvemba 1495 - 1531) alikuwa askofu wa kwanza kutoka Afrika kusini kwa ikweta kuanzia mwaka 1518 [1].

Mtoto wa Manikongo wa 6 wa Ufalme wa Kongo, Afonso I aliyejitahidi sana kufanya ufalme wote ufuate imani na maadili ya Kanisa Katoliki, alitumwa Coimbra (Ureno) kwa masomo [2]. Mwaka 1521 alirudi kwao na kuteuliwa gavana wa Mpangu, akifanya bidii katika uinjilishaji wa nchi hadi alipofariki dunia [3].

  1. Baquero Moreno, Humberto (1996). "Portugal: do Mediterrâneo ao Atlântico, no século XV". Anales de la Universidad de Alicante. Historia Medieval (10): 197–213. doi:10.14198/medieval.1994-1995.10.10. hdl:10045/6924. ISSN 0212-2480.
  2. Pigafetta, Filippo, 1533-1604.; Bal, Willy, 1916- ...; Impr. Darantière) (2002). Chandeigne (mhr.). Le royaume de Congo & les contrées environnantes, 1591. Paris. OCLC 468987523.{{cite book}}: CS1 maint: location missing publisher (link) CS1 maint: multiple names: authors list (link) CS1 maint: numeric names: authors list (link)
  3. Randles, William Graham Lister. [missing title]. ku. 97–104. doi:10.4000/books.editionsehess.335. ISBN 978-2-7132-1302-1. Iliwekwa mnamo 2020-10-09.
  • Afonso's letters are all published, along with most of the documents relating to his reign in:
    • António Brásio, Monumenta Missionaria Africana (1st series, 15 volumes, Lisbon: Agência Geral do Ultramar, 1952–88), vols. 1, 2 and 4.
    • While a separate publication of just his letters and allied documents (in French translation) is in Louis Jadin and Mirelle Dicorati, La correspondence du roi Afonso I de Congo (Brussels, 1978).
  • McKnight, Kathryn Joy, and Leo J. Garofalo. "Afro-Latino Voices: Narratives from the Early Modern Ibero-Atlantic World, 1550-1812."
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.