Henri-Pons de Thiard de Bissy
Mandhari

Henri-Pons de Thiard de Bissy (25 Mei 1657 – 26 Julai 1737) alikuwa kasisi wa Ufaransa ambaye aliwahi kuwa Askofu wa Toul kuanzia 1687 hadi 1704, Askofu wa Meaux kuanzia 1704 hadi 1737, na kardinali kuanzia 1715 hadi 1737.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://cardinals.fiu.edu/bios1715-ii.htm Florida International University website, The Cardinals of the Holy Roman Church section, Biographical Dictionary of Pope Clement XI (1700-1721), Consistory of May 29, 1715 (X)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |