Nenda kwa yaliyomo

Heinrich Fasching

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Heinrich Fasching (24 Mei 1929 – 1 Juni 2014) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki.

Aliwekwa kuwa kuhani mwaka 1954, Fasching aliteuliwa kuwa askofu wa jimbojina la Acci na askofu msaidizi wa Jimbo la Katoliki la Sankt Pölten mwaka 1993. Alijiuzulu mwaka 2004.[1]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.