Hashim Kambi
Mandhari
Hashim Kambi (alizaliwa tar. 21 Oktoba 1956) ni mwigizaji wa filamu kutoka nchini Tanzania.[1] Amepata kucheza katika filamu mbalimbali nchini Tanzania. Awali alikuwa mchezaji mpira kupitia klabu ya Yanga.[2]
Baadhi ya filamu zake
[hariri | hariri chanzo]| Namba | Jina la Filamu |
|---|---|
| 1 | Simu ya Kifo |
| 2 | Kipusa |
| 3 | The Lost Twins |
| 4 | Kipuri |
| 5 | Zuadiswa |
| 6 | Honey Moon |
| 7 | Surprise |
| 8 | Ripple of Tears |
| 9 | Miss Call |
| 10 | Romance |
| 11 | 20% Furaha Iko Wapi |
| 12 | The Passion |
| 13 | Damu ya Mjomba |
| 14 | Bwagamoyo |
| 15 | Binti Nusa |
| 16 | Sanda Nyeusi |
| 17 | Babu Seya |
| 18 | Nguvu ya Mapenzi |
| 19 | Penzi la Baba |
| 20 | Olopong |
| 21 | Silent Killer |
| 22 | Huba |
| 23 | My Fiancee Born Again |
| 24 | Pretty Girl |
| 25 | Dangerous Deal |
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI". Bongo Film Database. Iliwekwa mnamo 2025-07-25.
- ↑ "Hashim Kambi: Umakini zaidi unahitajika katika uigizaji". Mwananchi (kwa Kiingereza). 2021-03-18. Iliwekwa mnamo 2025-07-25.
| Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Hashim Kambi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |