Harvie June Van
Mandhari
Harvie June Van (jina la kuzaliwa Vanderpool; alizaliwa 2 Machi, 1940) ni mwimbaji mstaafu wa muziki wa country. Alizaliwa Monterey, Tennessee.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "1. SONGS WRITTEN BY JOHN D. LOUDERMILK". Iliwekwa mnamo 2011-01-03.
| Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Harvie June Van kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |