Harriet Anena

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Harriet Anena
Amezaliwa Harriet Anena
Wilaya ya Gulu
Kazi yake mwandishi

[Picha:Harriet_Anena.jpg|thumbnail|right|200px|Herriet Anena]]

Harriet Anena

Harriet Anena ni raia wa Uganda mwandishi wa mashairi na hadithi mbalimbali. Ni mwandishi wa mashairi ya A Nation In Labour, yaliyochapishwa mnamo mwaka 2015[1].

Elimu na Maisha ya Awali[hariri | hariri chanzo]

Anena alizaliwa na Waacholi na alilelewa huko Wilaya ya Gulu, Uganda.[2] Alihitimu shahada ya mawasiliano katika Chuo Kikuu cha Makerere, mnamo mwaka 2010 na alimaliza Shahada ya uzamili ya sanaa katika haki za binadamu kutoka taasisi hiyo mnamo mwaka 2018.[3]

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Richard Oduor; Grace Kenganzi; David Kangye (March 2015). "Book Review: A Nation In Labour - Three voices, one book". somanystories.ug. Iliwekwa mnamo 17 March 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "'For Me, Life Is Political.' An Interview With Harriet Anena". Short Story Day Africa. 30 September 2015. Iliwekwa mnamo 2 October 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Joseph Ssemutooke (7 February 2015). "The making of a budding poet". Daily Monitor. Iliwekwa mnamo 17 March 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Harriet Anena kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.