Hamada Ben Amor

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hameda Ben Amor [1] [2], anajulikana zaidi kwa jina la sanaa rap kutoka nchini Tunisia . Wimbo wake wa " Rais Lebled ", uliotolewa mnamo Novemba 2010, umeelezewa kama ni "wimbo wa mapinduzi ya Jasmine ". [1]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Ben Amor amekuwa akitengeneza nyimbo za kurap tangu 2007. Nyimbo hizo hapo awali ziliwekwa chini ya usiri kwa udhibiti mkali wa utawala wa rais wa Tunisia Zine El Abidine Ben Ali. Mnamo 24 Desemba 2010, siku mbili baada ya wimbo wake wa pili maarufu wa "Tunisia Our Country" kutolewa kwenye YouTube na Facebook na wiki moja baada ya maandamano nchini Tunisia kuanza, alikamatwa na polisi wa Tunisia. Siku tatu baadae, Ben Amor aliachiliwa, baada ya kulazimishwa kusaini taarifa ya kutotengeneza tena nyimbo zozote za kisiasa. [1]

Orodha ya kazi za muziki[hariri | hariri chanzo]

Albamu
  • "Malesh?" 
  • "Sidi Rais"
  • "Rais Lebled"
  • "Tounes bledna"
  • Hor
  • Yhebbou Ylezzouni
  • 3ammel 3al 3ali
  • Mechia w Tzid
  • Tfol Sghir
  • Mise saa
  • Solo
  • Ma Nsina
  • Tayari
  • Hwemna
  • Donia
  • Tsunami
  • Waadi
  • Fannen & Ensen

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hamada Ben Amor kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.