Hakainde Hichilema
Hakainde Hichilema (alizaliwa Monze, 4 Juni 1964) ni mfanyabiashara na rais mteule wa nchi ya Zambia, Alishinda urais katika uchaguzi wa mwaka 2021 baada ya kugombea mara sita - 2006, 2008, 2011, 2015, 2016 hadi kushinda mwaka 2021.[1] [2]
Maisha ya Awali[hariri | hariri chanzo]
Hichilema alipata ufadhili wa kusoma katika chuo kikuu cha Zambia na kuhitimu mwaka 1986 na kupata shahada ya Uchumi na Biashara, baadaye alijiunga katika chuo kikuu cha Birmingham nchini Uingereza alikosoma mambo ya fedha na usimamizi wa biashara.[3]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Foundation, Thomson Reuters. Zambian opposition leader Hakainde Hichilema wins presidential election.
- ↑ Zambian opposition leader Hakainde Hichilema wins presidential election (en) (16 August 2021).
- ↑ Biography: Hakainde Hichilema. Jalada kutoka ya awali juu ya 2015-01-23. Iliwekwa mnamo 2021-08-16.
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Hakainde Hichilema kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |