Hakainde Hichilema

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sergio Mattarella na Hakainde Hichilema mnamo 2022
Sergio Mattarella na Hakainde Hichilema mnamo 2022

Hakainde Hichilema (alizaliwa Monze, 4 Juni 1964) ni mfanyabiashara na rais mteule wa nchi ya Zambia, Alishinda urais katika uchaguzi wa mwaka 2021 baada ya kugombea mara sita - 2006, 2008, 2011, 2015, 2016 hadi kushinda mwaka 2021.[1] [2]

Maisha ya Awali[hariri | hariri chanzo]

Hichilema alipata ufadhili wa kusoma katika chuo kikuu cha Zambia na kuhitimu mwaka 1986 na kupata shahada ya Uchumi na Biashara, baadaye alijiunga katika chuo kikuu cha Birmingham nchini Uingereza alikosoma mambo ya fedha na usimamizi wa biashara.[3]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Foundation, Thomson Reuters. "Zambian opposition leader Hakainde Hichilema wins presidential election". news.trust.org. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-08-16. Iliwekwa mnamo 16 August 2021.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Zambian opposition leader Hakainde Hichilema wins presidential election". Reuters (kwa Kiingereza). 16 August 2021. Iliwekwa mnamo 16 August 2021.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. "Biography: Hakainde Hichilema". www.hh-zambia.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-01-23. Iliwekwa mnamo 23 January 2015.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hakainde Hichilema kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.