Habib Ayrout
Mandhari
| Habib Ayrout | |
| Amezaliwa | Habib 1876 |
|---|---|
| Nchi | Misri |
| Kazi yake | mbunifu majengo |
Habib Ayrout (1876 – 1956) alikuwa mbunifu majengo[1] wa Misri mwenye asili ya Syria. Alishiriki katika upangaji na ujenzi wa Heliopolis (kitongoji cha Cairo).
Elimu
[hariri | hariri chanzo]Alisomea mjini Paris kama mhandisi na mbunifu majengo. Wanawe walikuwa Henry Habib Ayrout, padre wa Kijesuiti, Charles na Max Ayrout, ambao pia walikuwa wabunifu majengo waliokuwa wakifanya kazi mjini Cairo
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Habib Ayrout kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
- ↑ Ayrout, Henry Habib (1963). The Egyptian peasant. Internet Archive. Boston, Beacon Press.