Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
(Elekezwa kutoka HUM)
Wizara ya Habari, Utamudini na Michezo (Kiingereza: Ministry of Information, Culture and Sports kifupi (HUM)) ni wizara ya serikali nchini Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hii zipo mjini Dar es Salaam.
Mashirika[hariri | hariri chanzo]
- Baraza la Kiswahili la Taifa[1] (BAKITA)
- Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)
- Baraza la Michezo la Taifa (BMT)
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti rasmi Archived 24 Julai 2009 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |