Guangzhou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Guangzhou








Jiji la Guangzhou
Faili:Flag of .png
Bendera
Nchi China
Jimbo Guangdong
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 7,607,200
Tovuti:  www.gz.gov.cn

Guangzhou (pia: Canton, kwa Kichina: 广州) ni mji wa China. Ndio mji mkuu wa jimbo la Guangdong.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2006, kuna wakazi wapatao milioni 9.8 wanaoishi katika mji huu.

Mji uko mita 11 juu ya usawa wa bahari.

Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Guangzhou kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.