Grammy Awards
Grammy Awards | |
Hutolewa kwa ajili ya | Kufanya vizuri katika soko la muziki |
Hutolewa na | NationalARAAS |
Nchi | Marekani |
Imeanza kutolewa mnamo | 1958 |
Tovuti rasmi |
---|
Grammy Awards au Tuzo za Grammy (awali iliitwa Gramophone Awards)—au Grammys—hutolewa kila mwaka na National Academy of Recording Arts and Sciences ya nchini Marekani kwa ajili ya kazi zilizopata mafanikio makubwa katika soko la muziki. Sherehe hizi za ugawaji wa tuzo hushirikisha wasanii mashuhuri na wale machipukizi, na baadhi ya tuzo zao huwa maarufu na huonyeshwa katika matelevisheni mengi nchi nzima.
Makundi
Makundi makuu ya au jamii kuu za aina ya muziki ni nne.
Viungo vya Nje
- Grammy.com – official site
- Grammy Awards at AOL Music
- Lists
- Grammy Awards winners at Grammy.com (searchable database)
- Grammy Awards nominees at MetroLyrics (lists since 1958)
- Grammy Awards at IMDb (wins and noms in film/TV-related awards)