Nenda kwa yaliyomo

Giulio Antonio Santorio

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Giulio Antonio Santorio (6 Juni 15329 Mei 1602) alikuwa Kardinali wa Italia wa Kanisa Katoliki. Santorio alizaliwa Caserta. Alihudumu kama Askofu Mkuu wa Santa Severina tangu 1566 hadi kifo chake.[1][2]

  1. "Giulio Antonio Cardinal Santorio" Catholic-Hierarchy.org. David M. Cheney. Retrieved April 30, 2016
  2. "Cardinal Giulio Antonio Santorio" GCatholic.org. Gabriel Chow. Retrieved April 30, 2016
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.