Gabrieli I wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gabrieli I wa Aleksandria (alifariki 28 Februari 920) kuanzia mwaka 910 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 57 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.