Nenda kwa yaliyomo

Gabriel Mbilingi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gabriel Mbilingi C.S.Sp. (alizaliwa 17 Januari 1958 katika Bândua, Bié, Angola) ni Askofu Mkuu wa sasa wa Lubango, Angola.

Tangu 20 Novemba 2009, yeye ni rais wa Mkutano wa Maaskofu wa Angola na São Tomé na Príncipe (CEAST - Conferência Episcopal de Angola e São Tomé e Príncipe).[1]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.