Grand Theft Auto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka GTA)
Nembo ya Grand Theft Auto.

Grand Theft Auto (GTA) ni mfululizo wa michezo iliyoundwa na David Jones na Mike Dailly. Michezo hii iliundwa na Rockstar North na kuchapishwa na Rockstar Games. Jina la mfululizo linaelezea neno ambalo linatumika Marekani kwa wizi wa magari.

Mfululizo wa Grand Theft Auto umewekwa kwa vipindi tofauti vya muda. Grand Theft Auto awali iliingizwa katika miji mikuu mitatu: Liberty city (kulingana na maeneo ya mji wa New York), Vice City, na San Andreas (kulingana na maeneo mengi ya California).

Michezo ya GTA inaweza kuchezeka katika vifaa vifuatavyo:

Mfululizo wa Grand Theft Auto[hariri | hariri chanzo]

Mwaka Mchezo
1997 Grand Theft Auto
1999 Grand Theft Auto: London 1969
Grand Theft Auto: London 1961
Grand Theft Auto 2
2001 Grand Theft Auto III
2002 Grand Theft Auto: Vice City
2004 Grand Theft Auto: San Andreas
Grand Theft Auto Advance
2005 Grand Theft Auto: Liberty City Stories
2006 Grand Theft Auto: Vice City Stories
2008 Grand Theft Auto IV
2009 Grand Theft Auto IV: The Lost and Damned
Grand Theft Auto: Chinatown Wars
Grand Theft Auto: The Ballad of Gay Tony
Grand Theft Auto: Episodes from Liberty City
2013 Grand Theft Auto V


Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Grand Theft Auto kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.