Frutuoso wa Braga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Frutuoso.

Frutuoso wa Braga (alifariki Braga, Ureno, 16 Aprili 665[1]) alikuwa mkaapweke wa Hispania, halafu abati[2], askofu wa Dumio na hatimaye askofu mkuu wa Braga[3] aliyeanzisha na kuzipa kanuni zake monasteri mbalimbali alizoendelea kuziongoza hata baada ya kupewa uaskofu [2][4].

Alizoea kuvaa kifukara kiasi kwamba alidhaniwa ni mtumwa, hata kupigwa bila sababu.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Aprili[6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Like many such accounts, his vita is clear on the day but hazy on the year.
  2. 2.0 2.1 Meier, Gabriel. "St. Fructuosus of Braga." The Catholic Encyclopedia Vol. 6. New York: Robert Appleton Company, 1909. 27 January 2019
  3. Karl Joseph von Hefele (1895). A History of the Councils of the Church: From the Original Documents. Vol. IV. Edinburgh: T. & T. Clark. ku. 474–475.  J.-D. Mansi (ed.), Sacrorum Conciliorum nova et amplissima collectio, editio novissima, Tomus XI (Florence: A. Zatta 1765), pp. 40-41, 43.
  4. María Adelaida Andrés Sanz; Carmen Codoñer Merino; La Hispania Visigótica y Mozárabe: Dos épocas en su Literatura. Volume 28. Universidad de Salamanca, 2010), pg. 121. ISBN|9788478001729
  5. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92332
  6. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.