Fronto na wenzake
Mandhari
(Elekezwa kutoka Fronto wa Nitria)
Fronto (alifariki karne ya 2 au ya 4) alikuwa Mkristo wa Misri ambaye alikwenda kuishi kimonaki jangwani pamoja na wenzake 70 akiwa abati wao [1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki kama watakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |