Frodobati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Frodobati (kwa Kifaransa: Frobert de Troyes; alifariki 673) alikuwa mwanzilishi[1] na abati wa kwanza wa monasteri ya Moutier-la-Celle huko Troyes katika Ufaransa wa leo[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.