Nenda kwa yaliyomo

Francisco Robles Ortega

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Francisco Robles Ortega (alizaliwa 2 Machi 1949) ni Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki kutoka Meksiko, ambaye amekuwa Kardinali tangu 2007 na sasa ni Askofu Mkuu wa Guadalajara. Kardinali Robles aliwahi kuwa Askofu Mkuu wa Monterrey kutoka 2003 hadi 2011.

Pia, kuanzia Novemba 2012, alichaguliwa kuwa Rais mteule wa Baraza la Maaskofu Katoliki wa Mexico, akichukua nafasi ya Rais anayemaliza muda wake, Askofu Mkuu Carlos Aguiar Retes, Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Tlalnepantla.[1]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.