Francis J. Kane
Mandhari
Francis Joseph Kane (alizaliwa 30 Oktoba 1942) ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Marekani.
Alihudumu kama askofu msaidizi wa Jimbo Kuu la Chicago, Illinois, kuanzia mwaka 2003 hadi 2018.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |