Nenda kwa yaliyomo

Francesco Satolli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kupinga Ukatoliki kwa uteuzi wa Satolli

Francesco Satolli (21 Julai 18398 Januari 1910) alikuwa mwanateolojia, profesa na kardinali wa Kanisa Katoliki kutoka Italia.

Alikuwa Balozi wa Papa wa kwanza nchini Marekani.[1]

  1. Eglise à Lyon. Archevêché de Lyon. 1881. uk. 447.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.