Francesco Bandini Piccolomini
Mandhari
Francesco Bandini Piccolomini (1505–1588) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki ambaye alihudumu kama Askofu Mkuu wa Siena (1529–1588).
Francesco Bandini Piccolomini alizaliwa mwaka 1505. Mnamo 7 Aprili 1529, aliteuliwa wakati wa utawala wa Papa Clement VII kama Askofu Mkuu wa Siena. Mnamo 25 Oktoba 1538, aliwekwa wakfu kuwa askofu. Alihudumu kama Askofu Mkuu wa Siena hadi kifo chake mwaka 1588.[1][2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Eubel, Konrad (1923). HIERARCHIA CATHOLICA MEDII ET RECENTIORIS AEVI Vol III (tol. la second). Münster: Libreria Regensbergiana. uk. 297. (in Latin)
- ↑ "Archbishop Francesco Bandini Piccolomini" Catholic-Hierarchy.org. David M. Cheney. Retrieved January 4, 2017
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |