Nenda kwa yaliyomo

Florence Okoe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Florence Okoe (alizaliwa tarehe 12 Novemba 1984) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake wa kimataifa kutoka nchini Ghana anayekipiga kama kiungo wa kati.

Ni mmoja ya wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Ghana. Alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo katika Kombe la Dunia la FIFA la wanawake mwaka 2003 na 2007. Katika ngazi ya klabu, anachezea klabu ya mpira ya Ghatel Ladies nchini Ghana.[1]

  1. "List of Players" (PDF). FIFA Women's World Cup China 2007. FIFA. 2007. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo Oktoba 14, 2012. Iliwekwa mnamo 2007-09-28.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Florence Okoe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.