Nenda kwa yaliyomo

Flomena Chepchirchir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Flomena Chepchirchir

Flomena Chepchirchir (alizaliwa 1 Desemba 1981) ni Mwanariadha wa mbiofundi mtaalamu wa Kenya wa mbio za muda mrefu, akishiriki kwenye half marathon na marathon. Chepchirchir ameshinda half marathons huko Venlo, Glasgow, na Zwolle.[1] Pia ameshinda mara mbili katika BIG 25 Berlin. Rekodi yake bora ya half marathon ni 1:08:22 saa, na ya marathon ni 2:23:00 saa.[2]

  1. van Hemert, Wim (2007-09-27). World champion Tadesse makes Udine preparations with 'Dam tot Dam' loop win. IAAF. Retrieved on 2012-05-16.
  2. Flomena Chepchirchir Archived 2017-09-29 at the Wayback Machine. Volare Sports. Retrieved on 2013-11-02.
Makala hii kuhusu mwanariadha wa Kenya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Flomena Chepchirchir kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.