Nenda kwa yaliyomo

Filippo Archinto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Filippo Archinto (14951558) alikuwa mwanasheria, mtawala wa Kipapa, askofu, na mwanadiplomasia kutoka Italia. Alizaliwa Milano na alihudumu kama Gavana wa Roma na baadaye kama Vika wa Papa kwa Roma. Alikuwa na heshima kubwa kutoka kwa Kaisari Karoli V na Papa Paulo III.[1]

Katika maisha yake ya kichungaji, alihudumu kama Askofu wa Borgo San Sepolcro (1539–1546), Askofu wa Saluzzo (1546–1556), na hatimaye Askofu Mkuu wa Milano (1556–1558).[2]

  1. Giussano, pp. 11–14.
  2. The Catholic Encyclopedia is wrong, both as to the university and the age at which he took his degree, claiming that Filippo was twenty when he got his degree at Padua, due to a hasty reading of Giussano.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.