Nenda kwa yaliyomo

Fernand Braudel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Fernand Braudel

Fernand Braudel
Amezaliwa Fernand Paul Achille Braudel
24 Agosti 1902
Luméville-en-Ornois, Ufaransa
Nchi Mfaransa
Kazi yake Mwanahistoria
Elimu Chuo Kikuu cha Paris
Watoto 2

Fernand Paul Achille Braudel (24 Agosti 1902 – 27 Novemba 1985) alikuwa mwanahistoria kutoka nchini Ufaransa. Masomo na tafiti zake zilijikita katika miradi mikuu mitatu: The Mediterranean (1923–49, kisha 1949–66), Civilization and Capitalism (1955–79), na kitabu kisichomalizika cha Identity of France (1970–85). Alikuwa mwanachama wa Shule ya "Annales" ya uandishi wa kihistoria wa Kifaransa na historia ya kijamii katika miaka ya 1950 na 1960.

Kibandiko cha ukumbusho cha Fernand Braudel, 59 rue Brillat-Savarin, Paris 13

Braudel alisisitiza mchango wa mambo makubwa ya kijamii na kiuchumi katika uundaji na uandishi wa historia.[1] Katika kura ya maoni iliyofanywa mnamo mwaka 2011 na jarida la History Today, alitajwa kuwa mwanahistoria muhimu zaidi katika kipindi miongo sita iliyopita.[2]

  1. i.e. Fernand Braudel, "The Mediterranean and the Mediterranean World in the Age of Philip II" (Berkeley: University of California Press, 1996)
  2. "Top Historians: The Results". History Today. Iliwekwa mnamo 2024-07-03.
Makala hii kuhusu wakimbizi au masuala ya ukimbizi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Fernand Braudel kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.