Nenda kwa yaliyomo

Felister Aloyce Bura

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Felister Aloyce Bura (amezaliwa 9 Novemba 1959) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania, viti maalum vya wanawake. Alichaguliwa mara ya kwanza mwaka 2005 akarudishwa mwaka 2010 na 2015. [1]

Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Saye (1967 - 1973) na elimu ya sekondari katika shule ya sekondari Tarime (1974 - 1977). [2]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 25 Januari 2020 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-26. Iliwekwa mnamo 2020-01-26.
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Felister Aloyce Bura kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.