Feetham Filipo Banyikwa
(Elekezwa kutoka Feethan Filipo Banyikwa)
Feetham Filipo Banyikwa (amezaliwa tar. 3 Oktoba 1947) ni mbunge wa jimbo la Ngara katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Mengi kuhusu Feetham Filipo Banyikwa". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |