29 Februari
(Elekezwa kutoka Februari 29)
Jump to navigation
Jump to search
Jan - Februari - Mac | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | ||||||
Kalenda ya Gregori |
29 Februari ni siku ya pekee katika Kalenda ya Gregori kwa sababu haipo kila mwaka.
Inatokea tu kila mwaka wa nne kama namba ya mwaka inagawika kwa 4 kama vile 2004, 2008, 2012. Lakini haipo tena katika kila mwaka ambao namba yake hugawika kwa 100 kama vile miaka 1800, 1900, 2100 isipokuwa ipo tena katika miaka ambayo namba hugawika kwa 400 kama vile 1600, 2000, 2400, 2800.
Ikiwepo ni siku ya sitini ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 306.
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 1952 - Kisiwa cha Helgoland kinarudishwa kwa Ujerumani
- 1960 - Mtetemeko wa ardhi unaharibu mji wa Agadir nchini Moroko, watu 10,000 - 15,000 wanakufa
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
- 1468 - Papa Paulo III
- 1920 - Howard Nemerov, mshairi kutoka Marekani
- 1976 - Ja Rule, mwanamuziki kutoka Marekani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
Sikukuu[hariri | hariri chanzo]
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Papa Hilarius, Oswadi wa York, Augustino Chapdelaine n.k.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu 29 Februari kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |