Nenda kwa yaliyomo

Fausto wa Milevi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Fausto wa Milevi alikuwa askofu wa Umani wa karne ya 4. Anakumbukwa kwa kukutana kwake na Agostino wa Hippo, huko Karthago yapata mwaka 383. Alitokea Milevi, Numidia (Aljeria ya sasa). Kutoka katika malezi maskini ya kipagani, alipata kuwa mwalimu, mhubiri na mtu wa majadiliano mwenye sifa nzuri.