Nenda kwa yaliyomo

Faustina Ampah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Faustina Ampah (alizaliwa tarehe 30 Novemba, 1996) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake kutoka nchini Ghana anayekipiga kwa sasa kama beki katika klabu ya mpira ya FC Minsk ya Belarus.

Ampah ni mmoja wa wachezaji wawili wa Ghana waliowahi kucheza katika raundi ya 32 ya Ligi ya Mabingwa ya Wanawake ya UEFA hadi kufikia Oktoba 2017.[1]

  1. Fifa. "Faustina AMPAH". Fifa. Fifa. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Agosti 9, 2014. Iliwekwa mnamo 7 Septemba 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Faustina Ampah kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.