Fausta wa Kuziko
Mandhari

Fausta wa Kuziko (alifariki 311) alikuwa msichana mwenye umri wa miaka 13 ambaye alishuhudia kwa ujasiri imani yake ya Kikristo, hata akamfanya kuhani Mpagani Evilasius aliyemtesa abadilike na kuwa Mkristo kama yeye, hatua iliyokuwa na adhabu ya kifo katika mji wa Kuziko, kwa kuwa wakazi wake hawakutaka mtu yeyote kubadili dini tofauti na imani yao ya wakati huo[1].
Tangu kale wote wawili wanahesabika miongoni mwa watakatifu wafiadini[2], pamoja na hakimu Masimo aliyeagiza wauawe akajiunga nao.
Sikukuu yao huadhimishwa na Wakatoliki tarehe 20 Septemba[3], ila kwa Waorthodoksi tarehe 5 Februari.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/100178
- ↑ Catholic Online
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/70900
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |