Fares El-Bakh

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Fares Ibrahim Saed Hassouna El-Bakh (anajulikana kama Meso Hassouna; alizaliwa 4 Juni 1998) ni mnyanyua vitu vizito wa Qatar, bingwa wa Olimpiki na bingwa wa dunia mara mbili anayeshiriki katika kategoria ya kilo 85, na kilo 94 hadi 2018 na kilo 96 kuanzia 2018 baada ya shirikisho la kimataifa la kunyanyua uzito kupanga upya kategoria hizo.[1] [2] [3]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Athlete Biography: ELBAKH, Fares Ibrahim E. H." IWF.net. Retrieved 24 September 2019.
  2. "Fares Ibrahim E. H. Elbakh". Rio2016.com. Archived from the original on 26 August 2016. Retrieved 30 September 2016.
  3. "PDF listing of 2018 Group A world championship entrants in 96 kg" (PDF). Archived (PDF) from the original on 10 December 2018. Retrieved 9 December 2018.