Farakano
Mandhari
Farakano (kutoka kitenzi chenye asili ya Kiarabu; kwa Kiingereza: schism, kutoka neno la Kigiriki σχίσμα, skhisma) ni tendo la kuachana kati ya watu wasioelewana tena baada ya kuwa pamoja. Mara nyingi linahusu taasisi kama vile madhehebu ya dini.
Farakano likishatokea, juhudi za kurudisha umoja mara nyingi zinasababisha mafarakano mapya, kama inavyoonyesha historia ya ekumeni [1].
Ukristo unatofautisha pengine farakano na uzushi[2][3], kwa maana huo unamaanisha tofauti katika mafundisho muhimu ya imani, wakati farakano linaweza kufanyika kwa sababu nyingine, bila tofauti za namna hiyo.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑
Leithart, Peter J. (2016-10-18). "The Case against Denominationalism: Perpetuating Schism". The End of Protestantism: Pursuing Unity in a Fragmented Church. Grand Rapids, Michigan: Baker Publishing Group. uk. 78. ISBN 9781493405831. Iliwekwa mnamo 20 Machi 2020.
The causes of church division are complex, and the effects can be paradoxical. In a study of American Protestant schisms between 1890 and 1990, John Sutton and Mark Chaves conclude that churches do not divide for purely doctrinal reasons but rather 'in response to attempts by denominational elites to achieve organizational consolidation.' [...] Ironically, 'mergers and foundings sharply raise the likelihood of schism.' Efforts to reunite the church can go wrong and sow further and deeper divisions. Ironically again, schism can reduce the chance of schism, though only briefly: 'one year after a founding or merger, rates of schism are five times higher than they are one year after a schism.'
{{cite book}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Aidan Nichols, Rome and the Eastern Churches (Liturgical Press 1992), p. 41 ISBN 978-1-58617-282-4
- ↑ Catechism of the Eastern Orthodox Church, p. 42; The Concordia Cyclopedia quoted in Unionism and Syncretism – and PLI; Orthodox Practice – Choosing God-parents; Code of Canon Law, canon 751
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Clarke, Peter; Beyer, Peter (2009), The World's Religions: Continuities and Transformations, Routledge, ISBN 978-0-203-87212-3
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |