Fangak (jimbo)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Fangak State
Mahali paFangak State
Mahali paFangak State
Mahali pa Fangak katika Sudan Kusini
Bendera ya South Sudan South Sudan Sudan Kusini
Makao makuu Ayod
Idadi ya kaunti 3
Idadi ya manispaa
Serikali
 - Gavana James Kok Ruea
Idadi ya wakazi (Kadirio la 2014)
 - Wakazi kwa ujumla 326,370

Fangak State (jina la awali: Western Bieh State) ni mojawapo kati ya majimbo 32 yanayounda Sudan Kusini.

Imegawanyika katika kaunti 3: Fangak County, Canal County na Ayod County.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Fangak (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.