Faili:MV Songea Kyela 2009 Chemi Che.jpg

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

MV_Songea_Kyela_2009_Chemi_Che.jpg(piseli 599 × 446, saizi ya faili: 32 KB, aina ya MIME: image/jpeg)

Muhtasari[hariri | hariri chanzo]

Picha kutoka http://2.bp.blogspot.com/_CcHV2wFn640/Sv6_6lq7UWI/AAAAAAAAGPU/_0BFfV_gYsU/s1600-h/MV-Songea-0.jpg Blogu ya Swahili Time ya 12.11. 2009, Chemi Che Mponda juu ya Bahari ya Kyela. "Kuna bandari mbili huko Kyela. Hii bandari tuliyoenda ni nje ya mji wa Kyela. Ukitaka kwenda Lupingu, Manda, Mbamba Bay na sehemu kadhaa unapanda meli hapo. Hiyo Meli inaendeshawa na Tanzania Railways. Siku tuliyoondoka, Oktoba 29, 2009, ndo meli kubwa MV Songea ilikuwa inarudishwa katika huduma. Walikuwa wanaifanyia matengenezao ya mwisho mwisho. Walisema meli itaondoka saa 7 mchana, lakini iliondoka saa 11 jioni. Swahili Time kweli kweli. "

Kwa kibali cha mpiga picha Chemi Che Mponda ya tar. 13.12. 2010 kwa mtumiaji: kipala Attribution required to author Chemi Che Mponda

Hatimiliki[hariri | hariri chanzo]

Creative Commons License
Creative Commons Attribution icon
Picha hii imetolewa chini ya Laiseni Huria ya Umma "Attribution 3.0 Unported" . Maana yake: Uko huru kutumia picha hii,
kuisambaza na pia kuibadilisha kama unataja muumbaji wake au mwenye kutoa laiseni asilia. Laiseni rasmi kwa Kiingereza

Historia ya faili

Bonyeza tarehe/saa kuona faili kama ilivyoonekana wakati huo.

Tarehe/SaaPicha ndogoVipimoMtumiajiMaelezo
sasa hivi22:17, 13 Desemba 2010Picha ndogo ya toleo la 22:17, 13 Desemba 2010599 × 446 (32 KB)Kipala (majadiliano | michango)Picha kutoka http://2.bp.blogspot.com/_CcHV2wFn640/Sv6_6lq7UWI/AAAAAAAAGPU/_0BFfV_gYsU/s1600-h/MV-Songea-0.jpg Blogu ya Swahili Time ya 12.11. 2009, Chemi Che Mponda juu ya Bahari ya Kyela. "Kuna bandari mbili huko Kyela. Hii bandari tuliyoenda ni nje ya

Ukurasa huu umeunganishwa na faili hili: