Nenda kwa yaliyomo

Eusigni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Mt. Eusigni.

Eusigni (252 - Antiokia, leo nchini Uturuki, 362) alikuwa jenerali mstaafu wa jeshi la Dola la Roma[1] ambaye uzeeni alifia imani ya Ukristo wakati wa dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Kanisa la Kiorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Agosti.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Martyr Eusignius of Antioch". Ancient Faith Radio. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-04-17. Iliwekwa mnamo 30 Oktoba 2014.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Martyr Eusignius of Antioch". Orthodox Church of America. Iliwekwa mnamo 30 Oktoba 2014.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.