Eusebi wa Viktorsberg
Mandhari
Eusebi wa Viktorsberg (Ireland, karne ya 9 - Rankweil, Bavaria Kusini, leo nchini Austria, 31 Januari 884) alikuwa Mkristo aliyehama Ireland kwa ajili ya Yesu akaishi kwa kuhamahama kihija, halafu akawa mmonaki, na hatimaye mkaapweke.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |