Ethelbert wa Kent
Mandhari


Ethelbert (kwa Kiingereza cha Kale: Æðelberht, matamshi: ˈæðelberxt; 560 hivi – 24 Februari 616) alikuwa mfalme wa Kent (Uingereza) kuanzia mwaka 589 hivi hadi kifo chake. Ni mfalme wa kwanza wa nchi hiyo kuongokea Ukristo alipomfuata mke wake Bertha kwa mahubiri ya Augustino wa Canterbury [1].
Baada ya hapo makanisa yakajengwa sehemu mbalimbali na dini hiyo mpya ilienea kati ya Waangli na Wasaksoni.
Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa na Kanisa Katoliki tarehe 25 Februari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Vyanzo vikuu
- Bede (1991). D.H. Farmer (mhr.). Ecclesiastical History of the English People. Ilitafsiriwa na Leo Sherley-Price. Revised by R.E. Latham. London: Penguin. ISBN 0-14-044565-X.
- Swanton, Michael (1996). The Anglo-Saxon Chronicle. New York: Routledge. ISBN 0-415-92129-5.
- Law-code of Æthelberht, ed. and tr. F. Liebermann, Die Gesetze der Angelsachsen. 3 vols. Halle, 1898–1916: 3–8 (vol 1); ed. and tr. L. Oliver, The Beginnings of English Law. Toronto Medieval Texts and Translations. Toronto, 2002.
- Letters of Gregory the Great, ed. D. Norberg, S. Gregorii magni registrum epistularum. 2 vols. Turnhout, 1982; tr. J.R.C. Martyn, The letters of Gregory the Great. 3 vols. Toronto, 2004.
- Earliest vita of Gregory the Great, ed. and tr. Bertram Colgrave, The earliest life of Gregory the Great by an anonymous monk of Whitby. Lawrence, 1968.
- Gregory of Tours, Libri Historiarum.
Vyanzo vingine
- Blackburn, Mark & Grierson, Philip, Medieval European Coinage. Cambridge: Cambridge University Press, reprinted with corrections 2006. ISBN 0-521-03177-X
- Campbell, James; John, Eric; Wormald, Patrick (1991). The Anglo-Saxons. London: Penguin Books. ISBN 0-14-014395-5.
- Fletcher, Richard (1989). Who's Who in Roman Britain and Anglo-Saxon England. London: Shepheard-Walwyn. ISBN 0-85683-089-5.
- Geary, Patrick J. (1998). Readings in Medieval History. Peterborough: Broadview. ISBN 1-55111-158-6.
- Hunter Blair, Peter (1960). An Introduction to Anglo-Saxon England. Cambridge: Cambridge University Press. ku. 13–16.
- Hunter Blair, Peter (1966). Roman Britain and Early England: 55 B.C. – A.D. 871. New York: W.W. Norton & Company. ISBN 0-393-00361-2.
- Kirby, D.P. (1992). The Earliest English Kings. London: Routledge. ISBN 0-415-09086-5.
- Lapidge, Michael (1999). The Blackwell Encyclopedia of Anglo-Saxon England. Oxford: Blackwell Publishing. ISBN 0-631-22492-0.
- Stenton, Frank M. (1971). Anglo-Saxon England. Oxford: Clarendon Press. ISBN 0-19-821716-1.
- Yorke, Barbara (1990). Kings and Kingdoms of Early Anglo-Saxon England. London: Seaby. ISBN 1-85264-027-8.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- The Laws of Æthelberht, at Mediaeval Sourcebook Ilihifadhiwa 11 Januari 2010 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
