Nenda kwa yaliyomo

Esther Mwaikambo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Esther Daniel Mwaikambo
Alizaliwa 1940
Nchi Mtanzania
Kazi yake Daktari wa magonjwa ya watoto

Esther Daniel Mwaikambo (alizaliwa 1940)[1] ni daktari wa nchini Tanzania aliyebobea katika tiba ya magonjwa ya watoto wadogo.

Anafanya kazi katika Chuo Kikuu cha Makumbusho ya Hubert Kairuki (The Hubert Kairuki Memorial University)[2].

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-10-26. Iliwekwa mnamo 2018-09-09.
  2. http://maternityafrica.org/professor-esther-mwaikambo/