Nenda kwa yaliyomo

Eric Carle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eric Carle (Alizaliwa 25 Juni , 1929 -Alifariki 23 Mei, 2021) alikuwa mwandishi, mbunifu na mchoraji wa vitabu vya watoto kutoka Marekani.[1] Kitabu chake cha picha The Very Hungry Caterpillar, kilichochapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1969, kimetafsiriwa katika lugha zaidi ya 66 na kuuzwa zaidi ya nakala milioni 50.

  1. "The Eric Carle Museum of Picture Book Art Mourns the Loss of Co-Founder Barbara Carle". carlemuseum.org. The Eric Carle Museum of Picture Book Art. Septemba 9, 2015. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Machi 2, 2021. Iliwekwa mnamo Februari 6, 2025.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)